Wednesday, June 28, 2017

Sumatra:Wanaopandisha Nauli Sikukuu Kukiona

Baadhi ya mabasi yakisubiria abiria katika stendi kuu ya mabasi Mkoani Iringa. Imekuwa ni desturi kwa wamiliki wa mabasi kupandisha nauli wakati wa msimu wa skukuu za Krismas na Mwaka Mpya (Picha Na Sabinus Paulo).

Na Stephan Ngolongolo
Mwandishi- Iringa Kwetu

Mamlaka ya Udhibiti wa Vyombo vya Usafiri Majini na Nchi Kavu (SUMATRA) imetoa onyo kali kwa wasafirishaji kutokupandisha nauli kulelekea msimu wa sikukukuu za Krismas na Mwaka mpya.

Akizungumza na gazeti hili ofisini kwake hivi karibuni, Afisa Mfawidhi SUMATRA Mkoa wa Iringa, Ngereza Pateli amesema kuwa kitendo cha kupandisha nauli bila idhini ya mamalaka hiyo ni kinyume na sheria ya usafirishaji.

Aidha afisa huyo amewataka wananchi kutumia namba 15276 ili kupata taarifa zinazohusiana na viwango vya nauli na bei elekezi, huduma ambayo hutolewa na mamlaka hiyo. Ili kupata taarifa, abiria anatakiwa kutuma ujumbe mfupi wa maandaishi kupitia simu yake ya mkononi kwa kuandika neno nauli, anaacha nafasi, kisha anaandika mahali anapotaka kusafiri kisha anachagua daraja la basi husika na kuutuma ujumbe huo kwenda namba tajwa hapo huu.

“Kupandisha nauli bila idhini ya mamlaka ni kosa kisheria... kwa hiyo nitoe wito kwa wamiliki wa wote mabasi wasifanye hivyo, kwani tutawafikisha kwenye vyombo vya sheria.” Alisema Pateli.

Afisa huyo aliongeza kuwa kumekuwa na tabia ya baadhi ya wamiliki wa vyombo vya usafiri kupandisha bei ya nauli hususani kwa mabasi yanayofanya safari za mikoani wakati wa msimu wa sikukuu. Kwa upande wake, Wakala wa Mabsi ya Delux, Julius Eziudy amesema tatizo la kupandisha bei za nauli wakati wa sikuku limekuwa sugu mkoni Iringa linalosabaishwa na wapiga debe.

Alikiri kuwa mara nyingi msimu wa sikukuu ipo changamoto kubwa ya uhaba wa magari ingawa kwa upande wa kampuni yao wana magari ya kutosha hivyo kuwatoa hofu wateje wao na kuwataka
wafike mapema kukata tiketi. 

“Kama ikitokea magari yetu yote yamejaa huwa tuanomba vibali vya muda mfupi na kutumia magari wa watu wengine kutoa huduma kwa wateja wetu.” Alisisitiza. 

Mwenyekiti wa Umoja waWakatishaji Tiketi stendi kuu ya mabasi mkoani Iringa, Erasto Gasper amesema uzoefu unaonesha baadhi ya abiria wanatambua utaratibu wa kukata tiketi tofauti na hapo nyuma.

Mtalemwa Alex ni kondakta wa mabasi ya Kampuni ya Mwendamseke. Anasema kuwa msimu kama huo ukifika wanapata faida kubwa kutokana na kuwepo kwa abiria wengi hivyo wapiga debe wanalazimika kupandisha nauli bila utaratibu.

Kwa mujibu wa Pateli, SUMATRA kwa kushirikiana na wadau wengine wa usafirishaji kama, polisi wa usalama barabarani wamejipanga kuhakikisha kwamba hakuna adha ya usafiri kuelekea Krismas na mwaka mpya.

“Tumelitambua jambo hilo, hivyo tumejipanga kufanya ukaguzi wa magari kuanzia asubuhi
mpaka jioni.” Aliongeza “Pia tumekuwa tukitoa elimu kupitia vyombo vya habari kuwataka wananchi wakate tiketi kwenye ofisi huska ili kuepusha ulaghai.”

x

Taifa Stars yatoa Sare tasa na Botswana





Timu ta Taifa ya Tanzania (Taifa stars) leo imetoa sare ya kutokufunga na Timu ya Angola katika michuano ya COSAFA 2017 inayoendelea nchini Africa ya Kusini.

Game za leo Tanzania ilicheza dhidi ya Angola na kulazimishwa sare tasa wakati game ya Malawi na Mauritius imemalizika kwa sare tasa pia hivyo Tanzania bado anaendelea kuongoza Kundi A kwa kuwa na point nne sawa na Angola ila anaongoza kwa tofauti ya magoli, michuano hii ya COSAFA 2017 timu vinara wa makundi ndio watafuzu kucheza robo fainali.


Friday, August 12, 2016

Mpinzani wa Kigwangala kujitosa Uenyekiti wa Kanda-Chadema

Ndugu Joseph Malongo, Mtangaza nia wa nafasi ya Mwenyekiti wa Chadema  Kanda ya Magharibi



Nzega.  

Aliyekuwa mgombea wa ubunge wa jimbo la Nzega Vijijini  kwa tiketi ya Chadema , Joseph  Malongo ametangazi nia ya kugombe nafasi ya Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Magharibi katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika mapema mwezi huu.

Kijana huyo machachari ameyasema maneno hayo  leo alipokuwa akizungumza na mwandishi wetu, na kuelezea kwamba amefikia uamuzi huo ii kukiwezesha chama chake kusimama imara katika kanda ya Magharibi hasa wakati huu ambao taifa linakabiliwa na ukandamizwaji wa demokrasia.

Ameongeza kuwa “Safari ya mabadiliko ndiyo imeanza, na Jumatatu natarajia kuchua fomu ya kugombea nafasi muhimu katika chama changu, shabha yangu kubwa ni kutetea misingi ya demokrasia ambayo imekuwa ikiminywa kila kukicha.”

Malongo ambaye alionyesha upinzani mkubwa kwa Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dr Hamis Kigwangala katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 amesema vijana ndani ya chama wanayo nafasi kubwa kujitokeza katika kukijenga chama ili kiwafikie wananchi.
“Ni wakati sasa nataka nikitumikie chama changu kwa nguvu mpya na kukiimairisha ikiwa ni maamndalizi ya kushika dora hapo mwaka 2020” alisema Malongo.

Diwani huyo wa zamani wa kata ya Nata ameeleza kuwa wanachi wengi wamechoshwa na  serikali ya CCM, hivyo wanatafuta chama mbadala ili kuwaletea mabadiliko ya kweli, “kama mwanachadema nina haki ya demokrasia hivyo nitagombea ili kukiimashisha chama changu.

Mlongo a,bye ni Msomi wa wa Shahahada ya Utwala katika Biashara aliongeza kuwa ni atatumia elimu yake  kuweka misingi ya kuinua uchumi wa chama ili kiweze kujitegemea ili kiweze kuwafikia wananchi wengi vijijini.


Ili tuishinde CCM 2020 tunahitaji wapiga kura, na wakati wa kuvuna wapiga kura ni sasa… nawaomba wana Chadema wenzangu kanda ya Magharibi waniunge mkono tufanye kazi kwa pamoja kuking’oa madarakani chama chakavu.  


Saturday, February 16, 2013

TCIB yazindua kituo cha taarifa vijijini

Mwenyekiti wa kijiji cha Miswechini wilayani Kibaha (mwenye kofia) bwana Dunia Mrisho akiwa na mkurugenzi mtendaji wa TCIB bwana Deus Kibamba (katikati) wakimgawia  machapisho mwana kijiji wa Miswe wakati wa ufunguzi wa ofisi ya kituo cha taarifa kijijini hapo juzi. (Picha na Elisha Magolanga)

Na Elisha Magolanga

Kibaha. Jamii kubwa ya watanzania  waishio vijijini wanakabiliwa na tatizo la kukosa taarifa nyingi za kijamii hususani zile zinazohusu maendeleo na maisha yao ya kila siku.

Akizungumza na wanakijiji wa Miswechini kata ya Mbwawa wilayani Kibaha wakati wa uzinduzi wa kituo cha taarifa vijijini, Mkurugeni wa Kituo cha taarifa kwa wananchi (TCIB), bwana Deusi Kibamba alisema kupata taarifa ni haki yakila mtanzania bila kujali mahali anakoishi, umri na jinsia ya mtu.

Bwana Kibamba alisema kuwa kituo kilichofunguliwa kijijini hapo kituo kitatoa fulsa kwa wana kijiji kujipatia taarifa mbalimbali za kijamii, za kisheria na habari kuhusu mambo mbalimbali yanayotokea nchini.

“Wanakijiji katika kituo hiki watapata fursa ya kujisomea majarida, magazeti na tafiti mbalimbali ikiwa ni pamoja na kutazama luninga na kufanya majadiliano ya pamoja hapa kituoni,” alisema Kibamba.

Kwa upande wake mwenyekiti wa kijiji hicho bwana Dunia Mrisho aliwataka wanakijiji wote watumie vizurifursa  iliyotolewa  na TCIB kwa ajiliya kujiongezea maarifa ili waweze kushiriki kikamilifu katika kuchangia maendeleo ya kijiji na taifa kwa kufuatilia kwa ukaribu mambo mbalimbali yanayowahusu.

Akiongelea malengo ya kituo cha taarifa vijijini, mratibu wa mradi huo, Obeid Mkina alisema kuwa upatikanaji wa taarifa sahihi unamfanya  mwananchi kuwa na ufahamu wakutosha juu ya masuala mabalimbali yonayoizunguka jamii yake hivyo hujiamini na kushiriki kikamilifu katika maendeleo ya jamii.

Mkina aliongeza kuwa mradi huo wa taarifa vijijini ni miongoni mwa miradi mingine minne inayodhaminiwa na TCIB katika vijiji vilivyoko Mwanhuzi na Meatu mkoani Simiyu, Kitonga mkoani Iringa na Micheweni visiwani Pemba ambapo kila kituo kimepewa luninga na king’amuzi, magazeti, majarida ya taarifa za afya na machapisho ya katiba.

Wednesday, February 13, 2013

Form six sit for final exams


By Elisha Magolanga

 
Dar es Salaam. About 52,612 Form VI students in the country on Monday started sitting for  their national examinations scheduled to end on February 27,  said the National Examinations Council of Tanzania (NECTA).

NECTA Public Relations Officer, John Nchimbi said that 43, 309 are school candidates while 9203 are private candidates. He noted that among them 37 students with eyes disability are sitting fro exams where 28 are school candidates and 9 are private candidates.
This year the number of candidates sitting for form six exams has dropped down for 2317 candidates behind last year as 54,929 candidates sat for final examinations.

Mr. Nchimbi said that examination excise has started well since there was no any problem reported in the initial exams. He made a call to all education officers to ensure all procedures are followed as he caution to candidates to stay away from malpractice saying legal steps would be taken.  

The Citizen made surveillance in the city’s schools starting at Shaaban Robert, Tambaza, Azania, Jangwani, Zanaki, and Mzizima Secondary schools where students were in good condition doing their examinations under tight security established in each school. 

Shaaban Robert Headmaster, Mr S. Ramji told the reporter that in his school all 66 student sat for their final exams and students were well physically and psychologically. He added that there was no any difficulty there since examinations arrived and stared on time. 

Peter Muhondajile HKL Azania candidate said, “Initial examinations have started well, as in our class no candidate has missed done examinations,” He added that Kiswahili examination was quite fair since it has covered the given syllabuses as teachers have already taught.
In other occasion, schools headmasters’ ad invigilators refused to comment anything arguing that they are not in position to comment as the spokesperson was the District Education Officers. The paper tried to get the officers call but was not responded.  

CSOs: Spekaer seat abuse parliamentary principles


LHRC Executive Director Dr Hellen Kijo Bisimba 
 By Elisha Magolanga

Dar es Salaam. Civil Society Organization's yesterday said that party’s favoritism done by the Speaker seat has dropped moral value of the parliamentary before the community.

Also, the parliament principles number 115 and 116 (8) which are in accordance with the constitution, the Speaker has no power to break some important parliament committees including the Public Organisations Account Committee (POAC).

The statement has come after Legal and Human Rights Centre (LHRC) and The Citizens’ Parliament Watch (CPW) conduct a close follow-up on the 10th on-going parliamentary sessions that was ended last week.

The study conducted by joint organisation has revealed that the Speaker, Deputy Speaker and some of chairpersons of parliamentary sessions have been abusing the seat aggressively resulting in failure to run the parliament in a stable condition.
In contrast, the CSO have congratulated parliament session’s chairperson, Ms Jenista Mhagama that has been improving significant changes in the management of parliamentary sessions following the parliamentary principles mounted without bias.

In the 10th parliament session ended last week, the Opposition geared up to table a no-confidence vote against the Speaker Anne Makinda and her deputy, Job Ndugai, allegedly for favouritism. Allegations came after Ms Makinda and Mr Ndugai recently quashed private motions by Ubungo MP, Mr John Mnyika (Chadema) and nominated MP, Mr James Mbatia. The latter doubles, as chairman of another opposition party, NCCR-Mageuzi. 

MPs from Chadema, NCCR Mageuzi and Tanzania Labour Party said to be “disappointed” by the way the two are handling House affairs and have vowed to invoke parliamentary standing orders to table a motion of no-confidence against the two officials.

Addressing Journalists in Dar es Salaam yesterday, LHRC Executive Director Dr Hellen Kijo Bisimba said that although the 2011 and 2012 CPW report recommended the Speaker seat should manage principles without biases, the organisation has realised there still some weakness that should be addressed, and congratulate Ms Mhagama for her improvement as the report recommended.

On the side of breaking parliamentary committee Dr Bisimba said "POAC has broken at the middle process of Mtwara gas contracts which had begun to be addressed, also it has ordered to prevent social security funds to lend to government without contracts agreement between the bags and the government,”

She added that in the 10th parliament three important motions from opposition parties were burned in unsatisfactory conditions while two from the ruling party were agreed without any opposition. 

“The rejected three motions suggested by opposition were very crucial for Tanzanian future. These include education curriculums, water supply in Dar es Salaam city and the motion on the trends of the National Examinations Council of Tanzania,” she noted.

Furthermore, poor MPs attendance was among the problems that affect decision making in the parliament. Dr. Bisimba added, “In 6th of February 2013, the Bunge failed to provide declaration to join two international contracts because of small number of MPs attended.

“The government has lost Sh 321,300,00 due to useless of 12 hours without parliamentary session while more than 82 government and CSO professionals stayed without job spending government money in Dodoma for clarification on the international contracts,” 

The Organisations has urged MPs to understand that their presence in the parliament is for the public interest and not for their parties. Also, the seat has advised to put priority on motions that touch the human life instead of political fanaticism.