| Jackline Sombe akitoa shukurani kwa niaba ya BAJ 2 |
| Ni wakati wa vinywaji na maongezi ya hapa na pale, tuburudike!!! |
| Paula akiwaaga wana BAJ |
| Inno naye anaaga wana BAJ |
| Hawa ndio wawakilishi wa BAJ 3 wakitoa maneno ya kuaga |
| Mbilinyi |
| Wanafunzi wa shahada ya Utalii wakiwa Cafeterial Hall Lecture |
| Umakini darasani ni msingi wa mafanikio |
| Muhadhili wa utalii Geofrey Matata akisikiliza presentation ya vijana wake (BACAT 2) |
| Kama kawaida wapo wanaochapa usingizi darasani |
| Katika uwasilishaji |
| E bwana da!! Kipemba anawaza magoli ya Arsenal tu!!! wala hayupo darasani |
| Nilimpa zawadi ya Mbuzi kumuaga muhadhili mwenzangu aliyahama |
| Mwanamuziki wa kizazi kipya Grace Matata katika zoezi |
| Sasa fani imeingiliwa!!! na wewe ticha? |
| Wahadhili wa Shahada ya Utalii katika chuo cha Tumaini |
![]() |
| Mackline ndani ya chapel akining'iniza mpini mzito |
![]() |
| Mzee wa rhumba, Isac Rwechungula akisukuma sebene la Yesu |
![]() |
| Sister Ulumbi, Peris na Riziki wakitumbuiza nyimbo motomoto na kwaya ya Faith |
![]() |
| kama kawaida shukurani maalum zilitolewa na akina dada hawa |
![]() |
| Da! Peris we mkali.... |
![]() |
| Baada ya ibada ya kwanza, chai sister Ulumbi & Elieza wakipata breakfast ya ukweli |
![]() |
| Mulokozi nae alikuwepo kama kawaida yake |
![]() |
| Shaltiel, Asia na Josephine wakipata breakfast baada ya ibada ya kwanza. Wote hawa ni wanakwaya ya Faith kutoka chuo kikuu cha Tumaini Iringa |