| Wanafunzi wa shahada ya Utalii wakiwa Cafeterial Hall Lecture |
| Umakini darasani ni msingi wa mafanikio |
| Muhadhili wa utalii Geofrey Matata akisikiliza presentation ya vijana wake (BACAT 2) |
| Kama kawaida wapo wanaochapa usingizi darasani |
| Katika uwasilishaji |
| E bwana da!! Kipemba anawaza magoli ya Arsenal tu!!! wala hayupo darasani |
| Nilimpa zawadi ya Mbuzi kumuaga muhadhili mwenzangu aliyahama |
| Mwanamuziki wa kizazi kipya Grace Matata katika zoezi |
| Sasa fani imeingiliwa!!! na wewe ticha? |
| Wahadhili wa Shahada ya Utalii katika chuo cha Tumaini |
No comments:
Post a Comment