Thursday, February 24, 2011

BACAT ndani ya Lecture

Wanafunzi wa shahada ya Utalii wakiwa
Cafeterial Hall Lecture

Umakini darasani ni msingi wa mafanikio

Muhadhili wa utalii Geofrey Matata akisikiliza presentation
 ya vijana wake (BACAT 2)

Kama kawaida wapo wanaochapa usingizi darasani

Katika uwasilishaji

E bwana da!! Kipemba anawaza magoli ya
Arsenal tu!!! wala hayupo darasani 

Nilimpa zawadi ya Mbuzi kumuaga muhadhili mwenzangu aliyahama

Mwanamuziki wa kizazi kipya Grace Matata katika zoezi

Sasa fani imeingiliwa!!! na wewe ticha?

Wahadhili wa Shahada ya Utalii katika chuo cha Tumaini

No comments:

Post a Comment