![]() |
Mackline ndani ya chapel akining'iniza mpini mzito |
![]() |
Mzee wa rhumba, Isac Rwechungula akisukuma sebene la Yesu |
![]() |
Sister Ulumbi, Peris na Riziki wakitumbuiza nyimbo motomoto na kwaya ya Faith |
![]() |
kama kawaida shukurani maalum zilitolewa na akina dada hawa |
![]() |
Da! Peris we mkali.... |
![]() |
Baada ya ibada ya kwanza, chai sister Ulumbi & Elieza wakipata breakfast ya ukweli |
![]() |
Mulokozi nae alikuwepo kama kawaida yake |
![]() |
Shaltiel, Asia na Josephine wakipata breakfast baada ya ibada ya kwanza. Wote hawa ni wanakwaya ya Faith kutoka chuo kikuu cha Tumaini Iringa |
No comments:
Post a Comment