Thursday, February 24, 2011

Jumapili katika, ibada Faith Choir katika huduma ya uimbaji

Mackline ndani ya chapel akining'iniza
mpini mzito

Mzee wa rhumba, Isac Rwechungula
akisukuma sebene la Yesu

Sister Ulumbi, Peris na Riziki wakitumbuiza
 nyimbo motomoto na kwaya ya Faith

kama kawaida shukurani maalum
zilitolewa na akina dada hawa

Da! Peris we mkali....

Baada ya ibada ya kwanza, chai
sister Ulumbi & Elieza wakipata breakfast ya ukweli

Mulokozi nae alikuwepo kama kawaida yake

Shaltiel, Asia na Josephine wakipata
 breakfast baada ya ibada ya kwanza.
Wote hawa ni wanakwaya ya Faith
kutoka chuo kikuu cha Tumaini Iringa

No comments:

Post a Comment