Wednesday, February 13, 2013

CSOs: Spekaer seat abuse parliamentary principles


LHRC Executive Director Dr Hellen Kijo Bisimba 
 By Elisha Magolanga

Dar es Salaam. Civil Society Organization's yesterday said that party’s favoritism done by the Speaker seat has dropped moral value of the parliamentary before the community.

Also, the parliament principles number 115 and 116 (8) which are in accordance with the constitution, the Speaker has no power to break some important parliament committees including the Public Organisations Account Committee (POAC).

The statement has come after Legal and Human Rights Centre (LHRC) and The Citizens’ Parliament Watch (CPW) conduct a close follow-up on the 10th on-going parliamentary sessions that was ended last week.

The study conducted by joint organisation has revealed that the Speaker, Deputy Speaker and some of chairpersons of parliamentary sessions have been abusing the seat aggressively resulting in failure to run the parliament in a stable condition.
In contrast, the CSO have congratulated parliament session’s chairperson, Ms Jenista Mhagama that has been improving significant changes in the management of parliamentary sessions following the parliamentary principles mounted without bias.

In the 10th parliament session ended last week, the Opposition geared up to table a no-confidence vote against the Speaker Anne Makinda and her deputy, Job Ndugai, allegedly for favouritism. Allegations came after Ms Makinda and Mr Ndugai recently quashed private motions by Ubungo MP, Mr John Mnyika (Chadema) and nominated MP, Mr James Mbatia. The latter doubles, as chairman of another opposition party, NCCR-Mageuzi. 

MPs from Chadema, NCCR Mageuzi and Tanzania Labour Party said to be “disappointed” by the way the two are handling House affairs and have vowed to invoke parliamentary standing orders to table a motion of no-confidence against the two officials.

Addressing Journalists in Dar es Salaam yesterday, LHRC Executive Director Dr Hellen Kijo Bisimba said that although the 2011 and 2012 CPW report recommended the Speaker seat should manage principles without biases, the organisation has realised there still some weakness that should be addressed, and congratulate Ms Mhagama for her improvement as the report recommended.

On the side of breaking parliamentary committee Dr Bisimba said "POAC has broken at the middle process of Mtwara gas contracts which had begun to be addressed, also it has ordered to prevent social security funds to lend to government without contracts agreement between the bags and the government,”

She added that in the 10th parliament three important motions from opposition parties were burned in unsatisfactory conditions while two from the ruling party were agreed without any opposition. 

“The rejected three motions suggested by opposition were very crucial for Tanzanian future. These include education curriculums, water supply in Dar es Salaam city and the motion on the trends of the National Examinations Council of Tanzania,” she noted.

Furthermore, poor MPs attendance was among the problems that affect decision making in the parliament. Dr. Bisimba added, “In 6th of February 2013, the Bunge failed to provide declaration to join two international contracts because of small number of MPs attended.

“The government has lost Sh 321,300,00 due to useless of 12 hours without parliamentary session while more than 82 government and CSO professionals stayed without job spending government money in Dodoma for clarification on the international contracts,” 

The Organisations has urged MPs to understand that their presence in the parliament is for the public interest and not for their parties. Also, the seat has advised to put priority on motions that touch the human life instead of political fanaticism.  
 













Wednesday, June 13, 2012

Ziara za Pinda zalalamikiwa bungeni

Wananchi wadai kuchangishwa mbuzi kwa mabavu

Na mwandishi wetu

MBUNGE wa Viti Maalumu (Chadema), Rose Kamili ameilalamikia  Ofisi ya Waziri Mkuu, akisema mtendaji mmoja wa Serikali alikamatwa kutokana na kushindwa kukusanya mchango wa mbuzi tisa za zawadi kwa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wakati wa ziara yake Wilaya ya Maswa, mkoani Simiyu.

Kamili aliyasema hayo, wakati akiuliza swali la nyongeza kwa Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu (Tamisemi), Aggrey Mwanri baada ya swali la msingi lililoulizwa na Mbunge wa Maswa Mashariki, Sylvester Kasulumbayi (Chadema), kuhusu mipaka ya madaraka kati ya Serikali za Mitaa na Serikali Kuu kiutendaji.

Aidha, Kamili aliongeza kusema kuwa Mkuu wa Wilaya ya Maswa aliwaagiza watendaji wote wa kata kukusanya mbuzi ikiwa ni zawadi za ujio wa Waziri Mkuu katika wilaya yao na kwamba walioshindwa walikamatwa.

Akijibu swali hilo, Mwanri alisema ofisi yake haina taarifa ya tuhuma hizo na kumtaka mbunge huyo azithibitishe. Alisema Serikali haina utaratibu wa kuomba kupewa zawadi mbalimbali kwa viongozi wake na kama mbunge huyo ana ushahidi wa suala hilo autoe.

Mara baada ya majibu hayo, Spika wa Bunge, Anne Makinda alimpa fursa mbunge huyo kueleza kama anao ushahidi huo na akajibu kuwa anao kwani aliona hata kupitia luninga Waziri Mkuu Pinda akikabidhiwa zawadi.

Kwa upande mwingine, Kamili aliulizia juu ya operesheni ya kuhamisha wakazi wa pori la Maswa ambao nyumba zao kadhaa zilichomwa moto na wafugaji kadhaa kutimuliwa bila kujua pa kwenda.

Akijibu swali hiyo, Mwanri alisema mgogoro huo wa kuhamishwa wananchi hao, tayari ulifuatiliwa na Serikali na Waziri wa Nchi, Tamisemi wakati huo, George Mkuchika alikwenda katika eneo hilo na kuzungumza na wananchi na kupata taarifa sahihi.

Hata hivyo, alisema wananchi wa vijiji saba vya eneo hilo, walikubaliana kuanzisha Hifadhi ya Jamii (WMA) na kutoa eneo hilo kwa mwekezaji jambo ambalo lilitekelezwa.

Awali, akijibu swali la Kasulumbayi, Naibu Waziri Mwanry alisema wakuu wa mikoa na wilaya nchini, hawaruhusiwi kwa mujibu wa sheria, kuingilia utendaji kazi wa mamlaka za Serikali za Mitaa, ikiwa zinatekeleza majukumu yake kwa kuzingatia sera, sheria, kanuni na miongozo iliyowekwa na Serikali.


Kasulumbayi alitaka kujua inakuwaje wakuu wa mikoa na wilaya ambao kiutendaji ni watumishi wa Serikali Kuu, wanatoa amri kwa watendaji walio chini ya wakurugenzi wa wilaya, kuhamisha wananchi katika maeneo yao. Akahoji mpaka wa madaraka kati ya Serikali za Mitaa na Serikali Kuu unaanzia na kuishia wapi kiutendaji?

Mwanri alisema mkuu wa mkoa kwa mujibu wa Sheria ya Tawala za Mikoa Na.19 ya mwaka 1997, katika vifungu Na 5, 6 na 7 ana wajibu wa kusimamia kazi na shughuli zote za Serikali katika mkoa ikiwa  ni pamoja na kuziwezesha mamlaka za Serikali za Mitaa, kutekeleza majukumu yao kwa ufanisi kwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu zilizotungwa na Bunge.

Alisema majukumu ya wakuu wa wilaya yametengwa katika kifungu Na.14 (1-3) cha Sheria ya Tamisemi, Na.19 ya mwaka 1997 kwamba yeye ndiye msimamizi mkuu wa shughuli za Serikali katika wilaya yake.

“Hivyo madaraka ya jumla ya mkuu wa wilaya yanatiririshwa kutoka kwa Mheshimiwa Rais kupitia kwa mkuu wa mkoa, kwa upande wa watendaji walio chini ya mkurugenzi wa halmashauri, wao ni watekelezaji wa shughuli za Serikali kwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu zilizopo,” alisema.

Hata hivyo, alisema mipaka ya madaraka kati ya Serikali za Mitaa na Serikali Kuu imeanishwa katika Sheria za Mamlaka za Serikali za Mitaa na Sheria ya Tawala za Mikoa Na 19 ya 1997.

“Kwa kuzingatia sheria hizo ni kwamba mkuu wa mkoa na wilaya anaruhusiwa kuingilia kati inapotokea mamlaka za Serikali za Mitaa zimeshindwa kutekeleza majukumu yao au kukiuka misingi ya sera na sheria zilizopo.

Wednesday, January 11, 2012

Salam kutoka Finland

Elisha Magolanga in Turku Finland

The student tutor Klaudia Kakera with Elisha near student village in Turku

Michael Aboagye and Elisha soon after arrival at the Helsinki airport

An exchange programme student from Ghana, Michael Aboagye

Student tutor Maria with exchange programme students at Turku

The student tutor Maria (center) with Mkicahel, left and Elisha/ right outside the supermarket at Turku city

Tuesday, October 25, 2011

Mbunge aswekwa rumande kwa kuvamia kituo cha polisi

Mbunge wa Nzega Dk. Hamis Kigwangala

Na Moses Mabula, Nzega

MBUNGE wa Nzega, Dkt. Hamisi Kigwangala (CCM) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Wilaya ya Nzega akikabiliwa
na makosa sita yakiwemo kuvamia kituo cha polisi wilayani hapa.

Dkt. Kigwangalla alitiwa mbaroni juzi na Jeshi la Polisi wilayani hapa huku akiwa na baadhi ya wananchi wa jimbo hilo, Bw. Mrisho Hamisi, Bw. Methew Dotto, Bw. Mwanja mwandu wote wakazi wa Kata ya Nata ambao ni badhi ya wachimbaji wadogowadogo waliokuwa katika vurugu zilizotokea juzi katika Kijiji cha Mwabangu.
 
Wakisomewa mashtaka na Waendesha Mashtaka Merito Ukingoji na Joseph Mbwana, ilidiwa kuwa walifanya mkusanyiko usio halali Oktoba 23 mwaka huu katika mgodi mdogo uliopo kijiji hicho.
 
Kosa la pili na la tatu ni kuingia katika mgodi mdogo unaomilikiwa na wawekezaji bila idhini ya wamiliki na kuvamia Kituo cha Polisi cha Nzega saa mmoja jioni.

Shitaka la nne kwa mujibu wa waendesha mashitaka hao ni kufanya njama katika ofisi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya na kufanya maandamano kuvamia Kituo cha Polisi.

Makosa mengine ni kupiga na kujeruhi watu waliotajwa kuwa ni Mosesi
kichambi na Feldinald Yusuph ambao wamejeruhi katika ghasia zilizotokea juzi baada ya wachimbaji wadogo kuchoka kunyanyaswa na kunyang'wanywa eneo lao.

Waendesha mashtaka hao walidai kuwa upelelezi wa tuhuma hizo bado unaendelea kubaini chanzo cha vurugu huku mbunge huyo akiwekewa pingamizi ya kutofika eneo hilo la mgodi kwa kile kilichodaiwa kuwa ni kuepusha tafrani inayoweza kujitokeza kwa wananchi na wawekezaji.
 
Mbele ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Nzega, Ajali Milanzi, watuhumiwa hao walikana mashtaka hayo yote huku mbunge huyo akipewa dhamana baada ya kujidhamini mwenyewe kupitia nafasi yake, kisha kuwadhamini wenzake watatu.

hata hivyo Mahakama hiyo ilimpa dhamana hiyo kwa muda na kumwamuru kuwafikisha mahakamani hapo leo watuhumiwa wenzake aliowadhamini wakiwa na watu watakaowadhamini upya, vinginevyo mahakama hiyo itafuta dhamana kwa watu wote. Kesi hiyo imepangwa kusikilizwa Novemba 18, mwaka huu.

Mbunge azungumza
 
Baada ya kuachiwa, mbunge huyo alisema kitendo hicho cha kumweka ndani kimemdhalilisha vya kutosha hasa akiwa katika kudai haki ya wananchi wake ambao wamekuwa wakionewa mara kwa mara na wawekezaji hao.
 
"Nimeshangazwa na Jeshi la Polisi hasa OCD (Mkuu wa Polisi Wilaya) kunibambikia makosa ambayo hayana ukweli pamoja na kunidhalilisha kunipiga vibao kama mtoto mdogo na dhihaka mbalimbali kwa wananchi wangu ambao walikuwa wakidai haki yao ya msingi, hii si haki sikutendewa haki katika hili ni uonevu mtupu," alisema Dkt. Kigwangalla.
 
Aliapa kutokata tamaa kutetea haki na maslahi ya wananchi wake licha ya kugeuziwa kibao wakati gari lake lenye namba T 357 BMP aina ya Caldin lilipigwa mawe na kusababisha kuvunjika kioo cha mbele na kupigwa mawe yeye na wananchi wake wakidai haki.
1

TANGAZO LA MAHAFALI YA 14 CHUO KIKUU CHA TUMAINI IRINGA



Mkuu wa Chuo Kikuu cha Tumaini Iringa, Profesa. Nicholas Bangu anawaalika wahitimu wa mwaka 2011, familia, ndugu, jamaa, marafiki na umma kwa ujumla kwenye mahafali ya 14 ya chuo hicho yatakayofanyika siku ya Jumamosi ya tarehe 29 Oktoba mwaka huu. Mahafali yataanza saa 3:00 asubuhi chuoni hapo.

Mahafali yatatanguliwa na kongamano la wanataaluma (convocation) litakalofanyika siku ya Ijumaa ya tarehe 28 Oktoba, kuanzia saa 3:30 asubuhi chuoni hapo.

Wahitimu wote wanatakiwa kuthibitisha ushiriki wao na kuhudhuria mazoezi ya mahafali (rehearsal) bila kukosa. Wanafunzi wasiyohudhuria mazoezi hayo yatakayofanyika siku ya Ijumaa tarehe 28 Oktoba, saa 10:00 Jioni hawatashiriki kwenye mahafali.

Tafadhali thibitisha ushiriki wako kwa kutuma ujumbe (SMS) kwa simu namba 0767888596 ama barua pepe (email) pro@tumaini.ac.tz. Mwisho wa kuthibitisha ushiriki ni tarehe 23/10/2011.

Majoho ya mahafali yataanza kutolewa tarehe 24/10/2011. Mwisho wa kutoa mahojo ni tarehe 28 Oktoba 2011 saa 10:00 jioni. Majoho yatatolewa na ofisi za wakuu wa vitivo husika.

NYOTE MNAKARIBISHWA

Tuesday, October 18, 2011

PCCB urges religious leaders to corporate on corruption battle

Kinondoni regional Acting PCCB commander Frida Wikesi addresing religious leaders in Dar es Salaam 
By Elisha Magolanga TUICo, and Hussein Ndubikile TUICo
Religious leaders have been urged to use their position in the society and persuade their followers in the fight against corruption which is on the increase in recent years.
The call was made yesterday by Kinondoni regional Acting PCCB commander Frida Wikesi at a one day seminar on corruption for religious leaders in Dar es Salaam.
She said that due to the lust for quick richness among leaders from all walks of life, corruptions has become rampart in many places, something which can be easily defeated with joint efforts between the government and the religious leaders. 
The Acting commander explained since many people are now more educated on civic education than before, there is also increase and willingness in reportage of corruption acts.
“The fighting against corruption is the obligation of all citizens including religious leaders, it should not be the work of PCCB as some people think, your support is highly needed to make a difference” said Wikesi.
For his part, Full Gospel Bible Fellowship of Coast Diocese Bishop Mtemi Mathias said that some leaders lack fear of God hence involve in corruption acts which is a very set back to social justice, good governance and economic development.
 “It is impossible to end corruption actions if some section of the society including leaders will lack moral ethics which is key to integrity, honest, and dignity” He added.
The Bishop said that PCCB should educate people on the impacts of corruption from the grassroots level so that many people from the local level can get on board in the fight against the menace.
Rev. Wilbert Mwasumbi, who represented the Christian Council of Tanzania, cited poor social services like health, and education as the main sources of corruption through which the executives and leaders solicit bribe at the expense of poor people.
For his part, the Sheikh for Kinondoni District, Mohamed Muhenga said that Tanzanians should build a culture of hating corruption because it is a sin and causes injustice in the society.
He said all religious leaders must use their platforms to preach against corruption because it is against God’s willing.

He urged the ant-corruption body to make sure that it leaves no stone unturned in the war on corruption saying it denied poor people’s rights.
“The poor people are robbed of their rights, and their economy. There is a need to step up our efforts if the battle has to be won” he said.
Commenting on the participation of religion leaders in the battle, Imam for Ndugumbi Masjid, Ibrahim Kibwana said that religion leaders are the most trusted and influential people in the society which means their involvement can easily scale up the fight against corruption.