Tuesday, September 6, 2011

CUF warudisha fomu ya ubunge

Mgombea wa ubunge kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF) Mahona Leopard (kushoto), baada ya kuwasili katika ofisi ya Mkurungenzi Mtendaji wa wilaya ya Igunga (Picha na Elisha Magolanga

Simamizi wa uchaguzijimbo la Igunga, Protus Magayane akipokea fomu kutoka kwa mgombea wa CUF (Picha na Elisha Magolanga)

No comments:

Post a Comment