![]() |
Usidharau dafu embe tunda la msimu Geofrey Matata (katikati), Muhadhili wa Utalii, Chuo kikuu Tumaini-Iringa akila embe |
![]() |
Hapa naskia raha!! manake embe linapatikana kwa machale, sasa leo nimelifuma |
![]() |
Hapa matumbo joto! Wengine hatujawahi kuvuka maji hata ya dimbwi |
![]() |
Nimeshashiba embe sasa ni story tu na vijana wangu wa BACAT |
![]() |
Baada ya mishemishe za hapa na pale tuliamua kupumzika kivulini kupunga upepo |
![]() |
Eti elimu na uvuvi! Je ni kweli watoto wa shule hii wanafundishwa uvuvi kama ujasiliamali? |
![]() |
Mambo ya Beach |
![]() |
Mambo ya BACAT ni Ulayaulaya |
![]() |
Add caption |
![]() |
Hatukuwa na wasiwasi wa kutekwa na maharamia wa Kisomali baharini, kwani hata sisi tuna Msomali baharia |
![]() |
Michezo kama kawaida ya beach, Tunajivunia fahari ya mlima Kilimanjaro kila mmoja wetu anajaribu kutengeneza mlima |
![]() |
Jioni murua na upepo mwanana wa Bahari ya Hindi |
![]() |
Mambo ya Matema Beach misosi ya kumwaga |
![]() |
Da!! Neema, nimependa pozi lako sjui una njaa? |
![]() |
Chapel ya zamaaani kilwa huko. |
Nimejikubali mi mkali
ReplyDeleteE bawana hapo sawa
ReplyDelete