Saturday, February 12, 2011

Haya ndiyo mambo ya BACAT huko!!! Kilwa

Usidharau dafu embe tunda la msimu
Geofrey Matata (katikati), Muhadhili wa Utalii, Chuo kikuu Tumaini-Iringa akila embe

Hapa naskia raha!! manake embe linapatikana kwa machale, sasa leo nimelifuma


Hapa matumbo joto! Wengine hatujawahi kuvuka maji hata ya dimbwi

Nimeshashiba embe sasa ni story tu na vijana wangu wa BACAT

Baada ya mishemishe za hapa na pale tuliamua kupumzika kivulini kupunga upepo

Eti elimu na uvuvi! Je ni kweli watoto wa shule hii wanafundishwa uvuvi kama ujasiliamali?

Mambo ya Beach

Mambo ya BACAT ni Ulayaulaya

Add caption



Hatukuwa na wasiwasi wa kutekwa na maharamia wa Kisomali baharini, kwani hata sisi tuna Msomali baharia


Michezo kama kawaida ya beach, Tunajivunia fahari ya mlima Kilimanjaro kila mmoja wetu anajaribu kutengeneza mlima

Jioni murua na upepo mwanana wa Bahari ya Hindi




Mambo ya Matema Beach misosi ya kumwaga

Da!! Neema, nimependa pozi lako sjui una njaa?
 
Chapel ya zamaaani kilwa huko.

2 comments: