Tuesday, September 6, 2011

CHADEMA yatia fora maandamano ya kurudisha fomu ya ubunge Igunga

  • CUF watia dosari baada ya kuingilia msafara
  • Waitara atamba kuipoteza CCM 
Na Elisha Magolanga
Wanachama wa CHADEMA katika msafara wa kurudisha fomu ya kugombea ubunge jimbo la Igunga
Ghafla wanachama wa CUF wakaingilia kati msafara huo na kusababisha fujo

Mgombea wa ubunge kwa tiketi ya CHADEMA, Joseph Kashindye (Kushoto) akisindikizwa na mamia ya wanchi wa Igunga (Picha na Elisha Magolanga)

Mbunge wa Maswa Mashariki, Mhe, Sylivester Kasulumbai (CHADEMA) akifuatana na mgombea wa Igunga wakati wa kurudisha fomu

Watu wa baiskeli nao hawakuwa nyuma

Vijana, watoto, kwa wazee katika maandamano

Hatimaye wakafika ofisi ya Mkurugenzi mnamo saa saba na nusu mchana

Mgombea wa ubunge (CHADEMA), Joseph Kashindye Mwandu akikabidhi fomu kwa msimamizi wa uchaguzi jimbo la Igunga

Mkurugenzi mtendaji wa Wilaya ya igunga ambaye ndiye msimamizi\ wa uchaguzi wa jimbo\ hilo Ndugu, Protus Magayane akisaini fomu iliyorejeshwa na mgombea wa CHADEM

Kashindye akisaini fomu za kukabidhi


Wakinamama wa Igunga wakipunga mikono na vigelegele kushangilia msafara wa CHADEMA wakati wakitoka kurudisha fomu

Hatimaye msafara ukafika katika ofisi za CHADEMA wilaya na kuahirishwa na Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Tabora Ndugu, Mbaruku (Kulia mwenye nguo nyeusi) kwa kusisitiza wananchi wajitokeze kwa wingi siku ya Alhamisi tarehe 8 sept 2011 siku ya uzinduzi wa kampeni\za uchaguzi.

    CUF warudisha fomu ya ubunge

    Mgombea wa ubunge kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF) Mahona Leopard (kushoto), baada ya kuwasili katika ofisi ya Mkurungenzi Mtendaji wa wilaya ya Igunga (Picha na Elisha Magolanga

    Simamizi wa uchaguzijimbo la Igunga, Protus Magayane akipokea fomu kutoka kwa mgombea wa CUF (Picha na Elisha Magolanga)