Thursday, October 6, 2011
Uchaguzi Igunga waigawa tena CCM
Na Moses Mabula, Tabora
SIKU tatu baada ya CCM kushinda uchaguzi wa Jimbo la Igunga, Mwenyekiti wa Chama hicho
mkoani Tabora, Bw. Hassan Wakasuvi ametoa siri ya wana-CCM wenzake wanaodaiwa wafuasi wa aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo, Bw. Rostam Aziz na swaiba wake, Bw. Edward Lowassa kuwa walitaka chama hicho kishindwe ili 'waheshimiane'.
Bw. Wakasuvi alitoa maneno hayo makali yaliyoambatana na vijembe, wakati akihutubia wana-CCM waliojikeza katika sherehe za kujipongeza kwa ushindi katika uchaguzi mdogo wa Igunga uliofanyika Oktoba 2, mwaka huu.
Katika uchaguzi huo, Bw. Dalali Kafumu wa CCM alishinda kiti hicho cha ubunge na hivyo kuchukua nafasi iliyoachwa wazi na Bw. Aziz.
Bw. Rostam alijiuzulu nyazifa zake zote za uongozi ndani ya CCM ukiwemo ubunge na ujumbe wa NEC Julai 14, 2011 kwa kile alichoita 'kuchoshwa na siasa uchwara', chuki na
kufitiniana miongoni mwa viongozi na wanachama.
Lakini kinyume na matarajio ya wengi, Bw. Aziz aliibuka kwenye uzinduzi wa kampeni na kuwaomba wakazi wa Igunga kumchagua mgombea wa CCM.
Katika hotuba yake hiyo, Bw. Wakasuvi alitumia muda mwingi kurusha vijembe na tambo, akisema, licha ya kwamba kulikuwepo na upinzani mkali kutoka nje ya chama na hata ndani ya
chama chake, kazi aliyoifanya inastahili kupongezwa na kwamba ushindi huo bila yeye CCM ingeambulia patupu.
“Najua wapo hapa miongoni mwetu ambao walitaka CCM ishindwe, hao nawapa pole na waende kliniki wakazae, maana tumeshinda. Lakini pia wapo waliotamani tupate ushindi hao nawapongeza na waendelee kushangilia, tumeshinda,” alisema Bw. Wakasuvi
“Watu hao walikuwa wakisema ni bora jimbo la Igunga tushindwe ili eti tuheshimiane, sasa tumeshinda naomba tuheshimiane” alisema.
“Mimi ndio nilikuwa mkuu wa majeshi huko Igunga, hakuna wakubisha, mimi ndo nilikuwa komandoo na nilikuwa naongoza mashambulizi dhidi ya wapinzani wetu kutoka ndani ya
CCM na wale kutoka vyama vya upinzani,” alitamba Bw. Wakasuvi.
“Kama ushindi tumepata ila najua wapo mliochukia pia najua mpo nyie mliofurahi, endeleeni kufarahia ili hawa waliochukia ikiwezekana wajinyonge," alisema Mwenyekiti huyo.
Utetezi kwa Mbunge Rage
Mwenyekiti huyo alivigeukia vyombo vya habari kwa kuvishambulia kwamba vilikuwa vinapendelea upande mmoja wa upinzani kutangaza taarifa za kampeni jimboni Igunga huku akimtetea mbunge wa Tabora Mjini, Bw. Ismail Rage kupanda jukwaani na bastola.
Bw. Wakasuvi alisema kuwa haoni tatizo la mbunge wake kupanda jukwaani na silaha kwa madai kuwa hali iliyokuwa Igunga mbunge wake alikuwa sahihi, na kwamba waandishi wa habari ndio waliolikuza suala hilo baada ya kuliripoti kwenye magazeti, lakini ni jambo la kawaida.
“Mimi mbona nilikuwa nayo kiunoni lakini hamkiniandika, nadhani mna chuki zenu na Rage nyie wanahabari,” alisema.
Bw. Wakasuvi anayeaminika kutoka kundi la Bw. Samuel Sitta ilielezwa kuwa katika kikao cha Kamati ya Siasa mkoa wa Tabora kilichofanyika wilayani Igunga kabla ya kuanza
kwa mchakato wa kampeni za uchaguzi huo, alimtuhumu Bw. Rostam na baadhi ya wafuasi wake kwa kusema, “hata kama mliomo humu ndani ya kikao mmenuna, hiyo ni shauri yenu,
CCM itashinda tu, kauli iliyoungwa mkono na mbunge wa Tabora mjini Bw. Aden Rage
Alisema “Hata kama Rostam ana pesa, hawezi kuwa maarufu kama CCM, hapa tutashinda uchaguzi hata bila yeye kuwepo," alikaririwa na waliohudhuria kikao hicho.
Alisema kwamba CCM ingeshinda uchaguzi kwa gharama yoyote ile kwa kuwa kina dola, kauli ambayo iliwakera baadhi ya waliohudhuria kikao hicho, na kumtaka arekebishe kauli yake kwamba kilichokuwa kinahitajika kwa sasa ni kuunganisha nguvu badala ya ubinafsi.
Katika kikao hicho kilichohudhuriwa pia na aliyekuwa Mratibu wa Kampeni za CCM, Bw. Nchemba, ilielezwa kuwa zaidi ya sh. milioni 800 zinahitajika ili kupata ushindi katika uchaguzi huo.
Wengine waliohudhuria mkutano huo ni Makamu Mwenyekiti wa CCM (bara), Bw. Pius Msekwa, mbunge Viti Maalum Bi. Munde Tambwe ambaye pia ni mjumbe NEC na Bw. Rage.
Mpashaji wa habari hizo, alilieleza gazeti hili kuwa Bw. Wakasuvi aliwaeleza wajumbe wa kikao hicho kuwa Bw. Aziz ameshindwa kuwaletea maendeleo wakazi wa jimbo la Igunga tangu
achaguliwe kushika nafasi hiyo mwaka 1994 baada ya kifo cha aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo, marehemu Charles Kabeho.
Habari kutoka ndani ya chama hicho mkoani hapa zinabainisha kuwa Bw. Wakasuvi haelewani na baadhi ya viongozi wenzake ndani ya CCM mkoa na wilaya kutokana na kile kilichoelezwa ni miongoni mwa waasisi wa chama cha CCJ, yeye na Bw. Sitta.
Hata hivyo, alipoulizwa kuhusu madai hayo na maelezo yake mkutanoni, Bw. Wakasuvi alikanusha huku akiuliza, “wewe umezipata wapi habari hizi wakati kwenye mkutano haukuwemo
SIKU tatu baada ya CCM kushinda uchaguzi wa Jimbo la Igunga, Mwenyekiti wa Chama hicho
mkoani Tabora, Bw. Hassan Wakasuvi ametoa siri ya wana-CCM wenzake wanaodaiwa wafuasi wa aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo, Bw. Rostam Aziz na swaiba wake, Bw. Edward Lowassa kuwa walitaka chama hicho kishindwe ili 'waheshimiane'.
Bw. Wakasuvi alitoa maneno hayo makali yaliyoambatana na vijembe, wakati akihutubia wana-CCM waliojikeza katika sherehe za kujipongeza kwa ushindi katika uchaguzi mdogo wa Igunga uliofanyika Oktoba 2, mwaka huu.
Katika uchaguzi huo, Bw. Dalali Kafumu wa CCM alishinda kiti hicho cha ubunge na hivyo kuchukua nafasi iliyoachwa wazi na Bw. Aziz.
Bw. Rostam alijiuzulu nyazifa zake zote za uongozi ndani ya CCM ukiwemo ubunge na ujumbe wa NEC Julai 14, 2011 kwa kile alichoita 'kuchoshwa na siasa uchwara', chuki na
kufitiniana miongoni mwa viongozi na wanachama.
Lakini kinyume na matarajio ya wengi, Bw. Aziz aliibuka kwenye uzinduzi wa kampeni na kuwaomba wakazi wa Igunga kumchagua mgombea wa CCM.
Katika hotuba yake hiyo, Bw. Wakasuvi alitumia muda mwingi kurusha vijembe na tambo, akisema, licha ya kwamba kulikuwepo na upinzani mkali kutoka nje ya chama na hata ndani ya
chama chake, kazi aliyoifanya inastahili kupongezwa na kwamba ushindi huo bila yeye CCM ingeambulia patupu.
“Najua wapo hapa miongoni mwetu ambao walitaka CCM ishindwe, hao nawapa pole na waende kliniki wakazae, maana tumeshinda. Lakini pia wapo waliotamani tupate ushindi hao nawapongeza na waendelee kushangilia, tumeshinda,” alisema Bw. Wakasuvi
“Watu hao walikuwa wakisema ni bora jimbo la Igunga tushindwe ili eti tuheshimiane, sasa tumeshinda naomba tuheshimiane” alisema.
“Mimi ndio nilikuwa mkuu wa majeshi huko Igunga, hakuna wakubisha, mimi ndo nilikuwa komandoo na nilikuwa naongoza mashambulizi dhidi ya wapinzani wetu kutoka ndani ya
CCM na wale kutoka vyama vya upinzani,” alitamba Bw. Wakasuvi.
“Kama ushindi tumepata ila najua wapo mliochukia pia najua mpo nyie mliofurahi, endeleeni kufarahia ili hawa waliochukia ikiwezekana wajinyonge," alisema Mwenyekiti huyo.
Utetezi kwa Mbunge Rage
Mwenyekiti huyo alivigeukia vyombo vya habari kwa kuvishambulia kwamba vilikuwa vinapendelea upande mmoja wa upinzani kutangaza taarifa za kampeni jimboni Igunga huku akimtetea mbunge wa Tabora Mjini, Bw. Ismail Rage kupanda jukwaani na bastola.
Bw. Wakasuvi alisema kuwa haoni tatizo la mbunge wake kupanda jukwaani na silaha kwa madai kuwa hali iliyokuwa Igunga mbunge wake alikuwa sahihi, na kwamba waandishi wa habari ndio waliolikuza suala hilo baada ya kuliripoti kwenye magazeti, lakini ni jambo la kawaida.
“Mimi mbona nilikuwa nayo kiunoni lakini hamkiniandika, nadhani mna chuki zenu na Rage nyie wanahabari,” alisema.
Bw. Wakasuvi anayeaminika kutoka kundi la Bw. Samuel Sitta ilielezwa kuwa katika kikao cha Kamati ya Siasa mkoa wa Tabora kilichofanyika wilayani Igunga kabla ya kuanza
kwa mchakato wa kampeni za uchaguzi huo, alimtuhumu Bw. Rostam na baadhi ya wafuasi wake kwa kusema, “hata kama mliomo humu ndani ya kikao mmenuna, hiyo ni shauri yenu,
CCM itashinda tu, kauli iliyoungwa mkono na mbunge wa Tabora mjini Bw. Aden Rage
Alisema “Hata kama Rostam ana pesa, hawezi kuwa maarufu kama CCM, hapa tutashinda uchaguzi hata bila yeye kuwepo," alikaririwa na waliohudhuria kikao hicho.
Alisema kwamba CCM ingeshinda uchaguzi kwa gharama yoyote ile kwa kuwa kina dola, kauli ambayo iliwakera baadhi ya waliohudhuria kikao hicho, na kumtaka arekebishe kauli yake kwamba kilichokuwa kinahitajika kwa sasa ni kuunganisha nguvu badala ya ubinafsi.
Katika kikao hicho kilichohudhuriwa pia na aliyekuwa Mratibu wa Kampeni za CCM, Bw. Nchemba, ilielezwa kuwa zaidi ya sh. milioni 800 zinahitajika ili kupata ushindi katika uchaguzi huo.
Wengine waliohudhuria mkutano huo ni Makamu Mwenyekiti wa CCM (bara), Bw. Pius Msekwa, mbunge Viti Maalum Bi. Munde Tambwe ambaye pia ni mjumbe NEC na Bw. Rage.
Mpashaji wa habari hizo, alilieleza gazeti hili kuwa Bw. Wakasuvi aliwaeleza wajumbe wa kikao hicho kuwa Bw. Aziz ameshindwa kuwaletea maendeleo wakazi wa jimbo la Igunga tangu
achaguliwe kushika nafasi hiyo mwaka 1994 baada ya kifo cha aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo, marehemu Charles Kabeho.
Habari kutoka ndani ya chama hicho mkoani hapa zinabainisha kuwa Bw. Wakasuvi haelewani na baadhi ya viongozi wenzake ndani ya CCM mkoa na wilaya kutokana na kile kilichoelezwa ni miongoni mwa waasisi wa chama cha CCJ, yeye na Bw. Sitta.
Hata hivyo, alipoulizwa kuhusu madai hayo na maelezo yake mkutanoni, Bw. Wakasuvi alikanusha huku akiuliza, “wewe umezipata wapi habari hizi wakati kwenye mkutano haukuwemo
Wednesday, October 5, 2011
Tuesday, October 4, 2011
Dr. Nchimbi to launch exihibition in Butiama
Elisha Magolanga, Hussein Ndubikile TUICo
The Ministry of Information, Youth, Culture and Sports is expected to launch exhibition week of commemoration for 50 years of independence at Butiama village on 7th October this week.
Addressing to journalists in Dar es Salaam yesterday, the Minister for Information, Youth, Culture and Sports Dr. Emmanuel Nchimbi (MP) said that the exhibitions aimed to show different achievements reached by the ministry since 9th December 1961.
“The exhibition will end up on 14th October parallel with launching of Uhuru torch races at Butiama village as commemoration to the death of Father of Nation, Mwl Julius Kambarage Nyerere who introduced Mwenge rally” said Nchimbi.
The Vice President of the United Republic of Tanzania, Dr. Mohamed Ghalib Bilal will be a guest of honor to launch the Uhuru torch rally as a part and parcel of 50 years commemoration of Tanzania mainland independence.
The exhibition week will comprise the ministry’s institution and others stakeholders sectors include media, youth, culture and sports.
Apart from exhibitions, the ministry has also prepared different sports competition like bao, soccer, netball, athletics, and bicycle riding.
The ministry will also show different documentaries and writings of national events from 1961 so that people will be aware of their country’s history.
“We have planned the participation of youth volunteering on different social activities that will be performed in Butiama village” he said.
Meanwhile, the Regional Commissioner of Mara, John Gabriel Tupa said that nearly 90 percent of preparation has already completed, that include grounds for sports an exhibition.
Answering the question concerning last year chaos happened during Mwenge races at Butiama, the Regional Commissioner said that the government has organized well security environment and ensured peace exhibition.
Three arraigned with conspiracy and theft
By Hussein Ndubikile (TUICo)
Three Residents were arraigned in the Kinondoni Resident Magistrate court charged with conspiracy to commit an offence and stealing by servants.
The Police Prosecutor Syllvester Shilikale told Resident Magistrate Aniseta Nwangula that in the first count the accused Francis Kamisha(46),John Ciment(45),and Aderyada Desdery(26) both residents of Kinondoni commit an offence on uknown date and places within months of August and September this year,Kinondoni District together commit an offence namely stealing by servants.
In the second count both on or about the 9th September, this year at Reagent Estate Migombani Street area,Kinondoni District being employed by Synovate Co.Ltd they did steal various office documents worths 69,181,980/-the property of Synovate Co. Ltd.
The accused remanded after being failed to meet the bail condition
The case has adjourned until 5 0ctober this year for another mention.
Meanwhile, a resident of Kimara makaroni yesterday was appeared before Kinondoni Resident Magistrate court charged with rape.
The Police Prosecutor Rugenalila Kasalilo told Resident Magistrate Suzan Kihawa that the accused Nickson Raymond(17) commit offence on 26 August this year at King’ong’o,Kinondoni District.
The accused did carnal knowledge of fourteen (14) aged girls
The accused remanded until the further investigation completed.
The case has adjourned until 6 0ctober this year for another mention.
In another development, a twenty two aged man was arraigned before Kinondoni Resident Magistrate court charged with reckless driving a motor vehicle on the public road.
The Police Prosecutor Mohamed Kilongo said before Resident Magistrate Suzan Kihawa that Noel Ndeki resident of Kawe Mzizini,Kinondoni District commit offence on 2 September this year at 00:01hrs a long Bagamoyo road of Mbuyuni area.
The accused was ridden a tri-cycle Reg No.T.856 ETG make Bajaj on the public road recklessly he failed to control while was riding on the road thus he did ride extremely as a result knocked motor vehicle Reg No.T.449 BKM make Toyota Land Cruiser which lead damage to motor vehicle and tri motor cycle.
The accused remanded after being failed to meet the bail condition.
The case has adjourned until 5 October this year for another mention.
On the other hand, a resident of Manzese, Kinondoni District appeared before Kinondoni Resident Magistrate court charged with armed robbery.
The Police Prosecutor Rugenalila Kasalilo told Resident Magistrate Batiseba John that the accused commit an offence on about 13 day of September this year at Afrika Sana,Kinondoni District.
The accused did steal Motor cycle make Toyo Model Key colour black with Reg No.T.648 BLJ valued at 1,500,000/- the property of Ramadhan Pongwa and immediately before stole used violence to obtain the said Motorcycle.
The accused remanded after being failed to meet the bail conditions.
The case has adjourned until 5 0ctober this year for another mention.
Unknown woman found died in Dar es Salaam.
By Hussein Ndubikile
A deceased body of unknown woman was found died in Dar es Salaam.
The Regional Police Commander of Ilala Faustine Shilogile said that the deceased body of woman was found on 2 October in Gongo la Mboto near Nemela industry in Ilala District at 11a.m.
Shilogile said the deceased body of woman who approximated to have 35-40 years was found under the tree accumulated with garbage.
He said the decomposed dead body was found wearing red trouser and unknown shirt colour.
He also said the source of death was not ready found and the investigation is still continuing.
Meanwhile, in another incident a fire was burnt house in Kimara Temboni in Kinondoni District.
The Regional Police Commander of Kinondoni Charles Kenyela said that the fire accident was occurred at 7 pm in house of John Zimbo Kimara Temboni Resident.
He said that on 2 0ctober this year the fire was burnt the house of six rooms and four rooms were burnt with properties.
He added that the fire was put off by the fire brigade and the Residents of Kimara Temboni.
Kenyela said the source of fire did not found and no body was found died in that incident and the investigation is still continuing.
Monday, October 3, 2011
Bishop Gadi:Evil spirit source of calamities in Tanzania
By Elisha Magolanga TUICo
The Good News for all Ministry has prepared three days conference to pray for national calamities including draught and accidents at Biafra Stadium on 6th October this week.
Addressing journalists in Dar es Salaam yesterday, Bishop Gadi said that the conference will bring together believers from different Christian denominations.
Giving sorry to the victim of MV Islander that occurred recently in Zanzibar , Bishop Gadi said it was not a will of God people to suffer in cumbersome catastrophes but evil spirit hence call upon special prayers to reject satanic adoration.
He added that even104 houses destructed by rainstorm last week at Mbagala are among the evil event that should be rebuked in Jesus name soon as possible.
Recently, the Good News for All Ministry made a prayers tour at Mtera dam praying for rainfall to rescue the national from electricity scarcely and livestock’s posture shortage.
“We thank Lord because since we prayed recently, it have begin to rain in some areas however it is not enough to fill the dam due to the fact that the Southern Highlands Zone still in little amount of rainfall”
According to the spiritual research done by the Ministry, they realize that there are people use evil spirit such as witchcraft, curse and traditional sacrifices to prevent rainfall for their personal interest.
“We believe that within 72 hours ultimatum we give witches, it will rain allover the country because we are going to make special prayers that will destroy all satanic proceedings and we warn them to stop from now”
Commenting on drought Bishop Gadi said that Tanzania government have been loosing a lot of income due to electricity problem, hunger, posture shortage as it weakening socio economic services.
He urges all prayers from different religion and denomination to attend the Biafra ground at Kinondoni on Thursday 10:00 am in order to help the nation from the evil darkness.
Subscribe to:
Posts (Atom)

