Thursday, September 8, 2011

Kishindo cha CHADEMA chatikisa Igunga

  • Dr. Slaa afichua mkakati wa CCM na  CUF kuiandama CHADEMA
  • Mbowe amng'akia JK, asema ameshindwa kuwaondolea Watanzania umasikini
  • Mnyika: Kafumu ameshindwa kuishauri serikali yake katika mikataba mibovu ya madini
Na Elisha Magolanga
Mwanamama mkeleketwa wa CHADEMA Igunga akielekea katika kijiji cha Makomelo (Km 8 kutokamjini) kwa mapokezi ya viongoziwa CHADEMA Taifa
Wananchi wa Igunga wakimsubili Dr Slaa na Mbowe kwa hamu kubwa
Haya ndiyo maisha bora kwa kila Mtanzania, huyu ni mwananchi wa Igunga aliyekutwa pembezoni mwa barabara akiwa amelewa chakali huku amevaa sare ya CCM, (TAFAKARI!!!)
Mbunge wa Mbeya mjini Mhe. Sugu akilakiwa kwa shangwe na wananchi wa Igunga baada ya kuwasili
Viongozi na wabunge CHADEMA wakimsubiri Mwenyekiti wa taifa
Mwenyekiti wa CHADEMA taifa, Freeman Mbowe akipokelewa ma mwenyeji wake mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Tabora, Mbaruku Mohamed baada ya kuwasili wilayani Igunga
Dr. Wilbroad Slaa akisalimiana na Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Tabora mara baada ya kuwasili Igunga
Licha ya polosi kuwepo, Wananchi walijitolea wenyewe kufanya ulinzi kwa kuwazunguka viongozi wa CHADEMA
Maandamano yalichukua Km 8 mpaka kufika eneo la mkutano
Mhe. Mnyika katika maandamano
Maelfu ya Wananchi wa Igunga walijitokeza katika maandamano ya kuzindua kampeni ya uchaguzi mdogo ya CHADEMA 
Mbunge wa jimbo la Ubungo Mhe John Mnyika akihutubia maelfu ya wananchi ya wananchi wa Igunga siku ya uzinduzi wa kampeni za uchaguzi mdogo wa jimbo la Igunga
Mbunge wa Maswa Mashariki Mhe. Sylvester Kasulumbai akihutubia maelfu ya wananchi wa Igunga
Mhe. Suzan Kiwanga Mbunge wa CHADEMA viti maalum mkoa wa Morogoro akitoa salamu za ufunguzi wa kampeni kwa wananchi wa Igunga
Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Tabora Mbaruku Mohamed akiwasalimia wana Igunga
Naibu Katibu mkuu wa CHADEMA Zanzibar, akihutubia Wananchi wa Igunga
Katibu mkuu wa CHADEMA Dr. Wilbroad Slaa akihutubia wananchi wa Igunga katika uzinduzi wa kampeni za uchaguzi wa mdogo wa jimbo la Igunga kufuatia kujiuzulu kwa Rostam Aziz aliyekuwa mbunge wa Igunga kwa miaka 18
Ndugu Joseph Kashindye, mgombea wa ubunge kwa tiketi ya CHADEMA akiomba kura kwa wananchi wa Igunga
Maelfu ya wananchi katika uwanja wa Sokoine wakimsikiliza Mhe. Mbowe
Mwanasiasa mahili Fred Mpendazoe aliwasalimia wananchi wa Igunga


Wananchi wa Igunga wakipunga mikono hewani kama ishara ya kukiaga Chama Cha Mapinduzi
Umati mkubwa wa watu walijitokeza kwa wingi katika uwanja wa Sokoine
Mwenyekiti wa CHADEMA freeman Mbowe akimnadi mgombea Joseph Kashindye