Sunday, February 27, 2011

Mapinduzi yalianzia Tunisia na Misri sasa Tumaini University Iringa

Wanafunzi wamlazimisha rais wa TUSO IUCO kujiuzulu
Wanaharakati wa Tumaini University wakimtaka Rais ajiuzulu

Wanafunzi wakiwa na hasira balaa!!!

"Hatukubali mpaka kieleweke na fedha zetu zirudi"
Haya ndio maneno yalisikika kutoka vinywa wanaharakati hawa.

Tunamtaka atoke!!!!!



John K. Juma kwa unyooooonge! akakubali kuivunja serikali yake

Hapa anatangaza kuvunja bunge

Kisha akatangaza kuvunja Baraza la Mawaziri 

Ndipo vita ilipohamia San Ciro bar,
wakiamini kuwa baa hiyo inamilikiwa na John K. Juma

Mashuhuda wa tukio wengine full kunywa bia za bure


Wengine wamesimama mbali na tukio wakiogopa FFU

Godwin Kunambi akizungumza na waandishi wa habari
baada ya kuvunjwa kwa serikali ya wanafunzi

Akithibitisha ufisadi wa serikali ya John K. Juma.
Ni baada ya ufisadi kukithili katika serikali yake