Thursday, February 24, 2011

Tujikumbushe BAJ kuwaaga Inno, Paula, na Juka CHAULA Hotel

Jackline Sombe akitoa shukurani kwa niaba ya BAJ 2


Ni wakati wa vinywaji na maongezi ya hapa na pale, tuburudike!!!

Paula akiwaaga wana BAJ

Inno naye anaaga wana BAJ

Hawa ndio wawakilishi wa BAJ 3 wakitoa maneno ya kuaga

Mbilinyi

BACAT ndani ya Lecture

Wanafunzi wa shahada ya Utalii wakiwa
Cafeterial Hall Lecture

Umakini darasani ni msingi wa mafanikio

Muhadhili wa utalii Geofrey Matata akisikiliza presentation
 ya vijana wake (BACAT 2)

Kama kawaida wapo wanaochapa usingizi darasani

Katika uwasilishaji

E bwana da!! Kipemba anawaza magoli ya
Arsenal tu!!! wala hayupo darasani 

Nilimpa zawadi ya Mbuzi kumuaga muhadhili mwenzangu aliyahama

Mwanamuziki wa kizazi kipya Grace Matata katika zoezi

Sasa fani imeingiliwa!!! na wewe ticha?

Wahadhili wa Shahada ya Utalii katika chuo cha Tumaini

Jumapili katika, ibada Faith Choir katika huduma ya uimbaji

Mackline ndani ya chapel akining'iniza
mpini mzito

Mzee wa rhumba, Isac Rwechungula
akisukuma sebene la Yesu

Sister Ulumbi, Peris na Riziki wakitumbuiza
 nyimbo motomoto na kwaya ya Faith

kama kawaida shukurani maalum
zilitolewa na akina dada hawa

Da! Peris we mkali....

Baada ya ibada ya kwanza, chai
sister Ulumbi & Elieza wakipata breakfast ya ukweli

Mulokozi nae alikuwepo kama kawaida yake

Shaltiel, Asia na Josephine wakipata
 breakfast baada ya ibada ya kwanza.
Wote hawa ni wanakwaya ya Faith
kutoka chuo kikuu cha Tumaini Iringa